Waziri wa Afya Mhe Ummy Mwalimu leo amefanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Global Fund Bw. Peter Sands kuhusu uboreshaji wa huduma za afya nchini kupitia miradi ya Global Fund inayotekelezwa hapa nchini.
Read moreNaibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt. Godwin Mollel amefanya kikao kazi na watumishi wa Idara ya Kinga kikiwa na lengo la kupeana taarifa za kiutendaji na kujadili muelekeo wa huduma za kinga dhidi ya magonjwa mbalimbali ikiwemo magonjwa ya Kifua Kikuu na Ukoma. Kikao hicho kilichofanyika katika Hospitali ya Benjamini Mkapa, Jijini Dodoma.
Read more