Phone: +255 (0) 26 2960150 | Email: info@ntlp.go.tz
Home / Media / Blog

Wizara ya Afya Endeleeni Kuimarisha Mfumo wa Ufuatiliaji Magonjwa - Dkt. Philip Mpango

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdory Mpango  ameitaka Wizara ya Afya kuendelea kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji wa mwenendo wa magonjwa ya kuambukiza hususani magonjwa hatarishi.

Read more

Gharama za Fedha isiwe Kikwazo Kwa Wagonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma Kupata Matibabu

Mpango wa utekelezaji wa hifadhi ya jamii kwa wagonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma nchini unalenga kusaidia wagonjwa wa TB na Ukoma kupata huduma pasipo kuingia gharama zozote.

Read more

Tanzania yaunga mkono jitihada za Shirika la Afya Duniani na Mashirika ya Kitaifa kupambana na Magonjwa

Serikali ya Tanzania inaunga mkono jitihada za Shirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na mashirika mengine ya Kimataifa katika kupambana na magonjwa.

Read more

Dhana potofu ni Chanzo cha Unyanyapaa Katika mapambano dhidi ya Kifua Kikuu

Dhana potofu katika jamii ya kuwa kila mtu anayeugua ugonjwa wa Kifua Kikuu huwa ana maambukizi ya VVU imekuwa chanzo cha unyanyapaa katika mapambano dhidi ya Kifua Kikuu.

Read more

Tanzania Miongoni mwa Nchi 30 Zinachangia Wangonjwa wa Kifua Kikuu

Tanzania ni miongoni mwa nchi 30 zenye maambukizi makubwa ya ugonjwa wa kifua kikuu ambazo zinachangia asilimia 87 ya wagonjwa wote duniani

Read more