Wizara ya Afya Endeleeni Kuimarisha Mfumo wa Ufuatiliaji Magonjwa - Dkt. Philip Mpango
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdory Mpango ameitaka Wizara ya Afya kuendelea kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji wa mwenendo wa magonjwa ya kuambukiza hususani magonjwa hatarishi.
Read more