Gharama za Fedha isiwe Kikwazo Kwa Wagonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma Kupata Matibabu
Mpango wa utekelezaji wa hifadhi ya jamii kwa wagonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma nchini unalenga kusaidia wagonjwa wa TB na Ukoma kupata huduma pasipo kuingia gharama zozote.
Read more