Phone: +255 (0) 26 2960150 | Email: info@ntlp.go.tz
Home / Media / Blog

Tuongeze Kasi ya Mapambano Kutokomeza Ukoma Ifikapo 2030

Naibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amewataka wataalam wa afya nchini kuongeza kasi ya mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Ukoma ili ifikapo Mwaka 2030 ugonjwa huo uwe umetokomea nchini

Read more

Waziri Ummy Ataka Nguvu Iongezwe Dhidi ya Kifua Kikuu

Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu amewataka Waganga Wakuu wa Mikoa kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya Kifua Kikuu ikiwemo kuwafikia wagonjwa na kutoa elimu ya ugonjwa huo kwa wananchi

Read more

Elimu ya Magonjwa ya UKIMWI na Kifua Kikuu Vitolewe Migodini

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi na Kifua Kikuu imetoa rai kwa Makampuni ya Migodi kuwa na mpango endelevu wa kutoa elimu ya kujingina na magonjwa ya UKIMWI na Kifua Kikuu kwa wafanyakazi

Read more