Phone: +255 (0) 26 2960150 | Email: info@ntlp.go.tz
Home / Media / Blog

Wanahabari Kusini mwa Jangwa la Sahara Wapata Mafunzo Juu ya Kuandika Habari Sahihi za Kifua Kikuu

Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Wadau wa Jumuiya ya Afya ya Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika (ECSA - HC) wameendesha mafunzo kwa Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya Serikali na binafsi kutoka nchi 12 juu ya kuandika habari sahihi kuhusu ugonjwa wa Kifua Kikuu hasa katika maeneo ya migodi.

Read more

Maabara ya Kibong'oto Kufikia Ngazi ya Nne - Mhe. Ummy Mwalimu

Waziri Ummy amesema hayo leo wakati wa uzinduzi wa Maabara hiyo iliyopo katika Hospitali ya Kibong'oto Wilayani Siha inayotegemewa kupima sampuli ya magonjwa mbalimbali ambukizi.

Read more

Wizara ya Afya Endeleeni Kuimarisha Mfumo wa Ufuatiliaji Magonjwa - Dkt. Philip Mpango

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdory Mpango  ameitaka Wizara ya Afya kuendelea kuimarisha mifumo ya ufuatiliaji wa mwenendo wa magonjwa ya kuambukiza hususani magonjwa hatarishi.

Read more

Gharama za Fedha isiwe Kikwazo Kwa Wagonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma Kupata Matibabu

Mpango wa utekelezaji wa hifadhi ya jamii kwa wagonjwa wa Kifua Kikuu na Ukoma nchini unalenga kusaidia wagonjwa wa TB na Ukoma kupata huduma pasipo kuingia gharama zozote.

Read more

Tanzania yaunga mkono jitihada za Shirika la Afya Duniani na Mashirika ya Kitaifa kupambana na Magonjwa

Serikali ya Tanzania inaunga mkono jitihada za Shirika la Afya Duniani (WHO) pamoja na mashirika mengine ya Kimataifa katika kupambana na magonjwa.

Read more